Ndugu wa RC Ole Sendeka apotea kusikojulikana
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Mifugo, Elisante Ole Gabriel amebainisha kupotea kwa mmoja ya watumishi wa wizara hiyo anayefahamika kwa jina la Nikson Keiya ambaye alikuwa Meneja shamba la kuzalisha mitamba katika shamba la Sao hill.

