Ndugu wa RC Ole Sendeka apotea kusikojulikana

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Mifugo, Elisante Ole Gabriel amebainisha kupotea kwa mmoja ya watumishi wa wizara hiyo anayefahamika kwa jina la Nikson Keiya ambaye alikuwa Meneja shamba la kuzalisha mitamba katika shamba la Sao hill.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS