Azam FC yakubali kutimuliwa vumbi

Wachezaji wa KMC na Azam FC

Klabu ya soka ya Azam FC imezidi kuachwa na vinara wa ligi kuu soka Tanzania Yanga SC baada ya kukubali sare ya 2-2 dhidi ya KMC kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS