Ajiua yeye na watoto wake kisa mke wa pili Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 26, Rukia Wasuna mkazi wa Kaunti ya Kisumu nchini Kenya, ameamua kujiua yeye pamoja na watoto wake, baada ya mume wake kumwambia kuwa anataka kuoa mke wa pili. Read more about Ajiua yeye na watoto wake kisa mke wa pili