Matumizi sahihi ya Bendera na wimbo wa Taifa

Pichani, Bendera ya Tanzania.

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia, imewaandikia barua wakuu wa vyuo vya ualimu, vyuo vya ufundi na maendeleo ya jamii, vyuo vikuu na vishiriki na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kuhusu matumizi sahihi ya rangi ya bendera na wimbo wa Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS