Waziri Jafo aipa Dar es salaam siku 6 tu

Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo ametoa muda wa siku 6 kuanzia leo Desemba 13, 2018 hadi Jumatano ijayo Desemba 19, 2018, kuhakikisha halmashauri ya jiji la Dar es salaam inaanza ujenzi wa kituo cha mabasi cha Mbezi Luis.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS