Utendaji kazi wa wapinzani waliohamia CCM
Julai 28 mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli aliwateua kwa pamoja waliokuwa makada wa vyama vya upinzani nchini na baadaye kujiunga na Chama Cha Mapinduzi ambapo walipewa nafasi mbalimbali ikiwemo Ukuu wa Wilaya, Katibu Tawala.