Serikali kuanza kupima DNA

Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, Hamimu Gwiyama

Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, Hamimu Gwiyama amesema serikali wilayani humo, itaanza kupima vinasaba kati ya mtoto na mwanamume aliyemuoa mwanafunzi ili kubaini kama ndiye baba halisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS