Wababe wa Simba wapelekwa Mbeya

Shiza Kichuya akiwania mpira na moja ya wachezaji wa Mashujaa FC.

Klabu ya soka ya Mashujaa FC kutoka Kigoma imepangwa kucheza na Mbeya City ya jijini Mbeya katika mzunguko wa nne na wa tano wa michuano ya Kombe la shirikisho Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS