Baada ya kujificha kwa muda mrefu Nape ajitokeza Nape Nnauye Mbunge wa Mtama na Waziri wa zamani wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ameshindwa kuficha hisia zake juu ya ushindi walioupata timu ya Simba dhidi ya klabu ya Nkana ya Zambia. Read more about Baada ya kujificha kwa muda mrefu Nape ajitokeza