Polepole aanika ratiba ya funga mwaka Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa katika kipindi mwisho wa mwaka atakuwa katika utekelezaji wa majukumu ya chama bila kupumzika. Read more about Polepole aanika ratiba ya funga mwaka