Aliyetumbuliwa na Kangi aendelea kuchapa kazi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola.

Licha ya kutangazwa kuondolewa kwenye nafasi yake na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Arusha Ramadhani Ng'anzi ameendelea kufanya majukumu yake kama kamanda wa Mkoa wa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS