Rais Magufuli 'amchomolea' Jaji Mkuu

Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania Profesa Ibrahim Juma , Rais Dkt John Pombe Magufuli.

Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania Profesa Ibrahim Juma amebainisha kupeleka maombi ya kupatiwa idadi ya Majaji wapya 30, ambao wangewezesha kupunguza mzigo wa kesi za mahakamani ambapo kwa sasa uwiano wa kila Jaji mmoja ni kusimamia kesi 562.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS