Ndugai atoa ombi ambalo ni agizo kwa ATCL
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametoa wito kwa Bodi ya Shirika la Ndege la Tanzania, kufanya kazi kwa muda wa saa 24 ili kuweza kuhudumia wasafiri kwa muda wote ikiwa ni pamoja na kuwezesha kupata mapato.