Rais Magufuli 'amchomolea' Jaji Mkuu
Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania Profesa Ibrahim Juma amebainisha kupeleka maombi ya kupatiwa idadi ya Majaji wapya 30, ambao wangewezesha kupunguza mzigo wa kesi za mahakamani ambapo kwa sasa uwiano wa kila Jaji mmoja ni kusimamia kesi 562.

