JB amuibukia Manara, "sijawahi kuona msemaji huyu"
Sakata la mashabiki wa Simba kumshambulia Afisa Habari wa klabu hiyo, Haji Manara kutokana na matokeo mabovu limeendelea kuchukua sura tofauti baada ya muigizaji wa Bongo Movies nchini, JB kulizungumzia Afisa Habari huyo.

