Baada ya Makonda, Kigogo mwingine amsubiri Lissu Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kumtaka Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu Kurudi Tanzania, kigogo mwingine wa serikali amebainisha kuwa anamsubiri Mbunge huyo arejee nchini. Read more about Baada ya Makonda, Kigogo mwingine amsubiri Lissu