Fahamu zaidi kuhusu msiba wa muigizaji Mama Abdul

Marehemu Mama Abdul enzi za uhai wake.

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifamba, amesema msiba wa muigizaji Mama Abdul ni msiba ni pigo kwenye kiwanda kizima cha filamu Tanzania na wasanii wanatakiwa kuungana kuifariji familia ya marehemu katika kipindi hiki kigumu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS