Makonda atangaza oparesheni kwa wanasiasa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda. Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Paul Makonda ameahidi kuwasweka ndani viongozi wa kisiasa ambao wamekuwa na kauli za kejeli na matusi kwa viongozi wa dini kupitia kwenye mitandao ya kijamii. Read more about Makonda atangaza oparesheni kwa wanasiasa