CUF yazungumzia Maalim Seif kutimkia ACT-Wazalendo

Zitto Kabwe akiwa na Maalim Seif pamoja na Edward Lowassa.

Chama cha Wananchi (CUF) upande wa mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba umedai Maalim Seif Sharif Hamad anajiandaa kuhamia ACT-Wazalendo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS