"Hii ni aibu, hatupendi kufika huko" - Majaliwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema tabia zinazoendelea kwa baadhi ya viongozi wa mkoani Kilimanjaro zinalitia aibu Taifa na kuwashushia hadhi wahusika. Read more about "Hii ni aibu, hatupendi kufika huko" - Majaliwa