Wababe hawa wamefuzu nusu fainali CWC

Half finalist CWC 2025

Baada ya Real Madrid kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali katika michuano ya Klabu ya dunia kwa magoli 3-2 dhidi ya Borussia Dortmund huku wakiwa pungufu baada Dean Huijsen kutolewa nje kwa kadi nyekundu, rasmi sasa Los Blancos watakutana na PSG katika hatua hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS