Boti ya uwokozi yaanza majaribio

Boti mpya ya kisasa ya uokozi na matibabu (Modern Ambulance Boat) imezinduliwa kwa kushushwa majini na kufanyiwa majaribio kati ya jiji la Mwanza na kisiwa cha Ukerewe. Hatua hii ni sehemu ya maandalizi ya mwisho kabla ya kuanza rasmi kutoa huduma kwa wananchi wanaozunguka Ziwa Victoria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS