Polisi yawaonya raia wa Msumbiji

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Blasius Chatanda.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, limewatahadharisha raia wa nchi jirani ya Msumbiji, wanaodhani kuwa msimu huu wa sikukuu ni fursa kwao kwa kufanya uhalifu, basi watakuwa wamekalia kuti kavu kwakuwa jeshi hilo limejipanga ipasavyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS