Jengo la Ghorofa 6 laanguka Kenya Jengo lililoanguka jijini Nairobi Jengo la ghorofa 6 limeanguka nchini Kenya asubuhi ya leo, katika eneo la Embakasi jijini Nairobi, huku watu kadhaa wakihofiwa kukwama kwenye jengo hilo. Read more about Jengo la Ghorofa 6 laanguka Kenya