Serikali kuja na mbadala wa Chips kwa wanafunzi
Serikali mkoani Kagera imeshauriwa kuweka utaratibu, utakaowezesha wanafunzi wote wa Shule za Msingi na Sekondari kupata uji au chakula shuleni, ili kupunguza tatizo la mimba linalotokana na baadhi yao kudanganywa kwa chipsi.