Gari lagonga wamachinga Mwanza, mmoja afariki Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Murilo Mwanaume mmoja amefariki dunia na wengine kumi na moja kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari lililoacha njia na kuwagonga wakiwa pembezoni mwa barabara ya Furahisha eneo la Mkunguni Jijini Mwanza. Read more about Gari lagonga wamachinga Mwanza, mmoja afariki