Wanasiasa wamlilia mfanyabiashara Ali Mufuruki

Aliyekuwa Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Ali Mufuruki.

Mbunge wa Kigoma Mjini, na kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameonesha kupokea kwa masikitiko makubwa kufuatia kifo cha Mfanyabiashara maarufu hapa nchini, Ali Mufuruki, aliyefariki Dunia akiwa nchini Afrika ya Kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS