Simba yataja siku ya kutangazwa Kocha mpya

Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Senzo Mazingiza

Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Senzo Mazingiza amesema timu hiyo imejipanga kumtangaza Kocha Mkuu wa timu hiyo na benchi lake la Ufundi, ifikapo siku ya Jumatano ya wiki ijayo, ikiwa ni siku chache baada ya timu hiyo kumtimua Kocha Patrick Aussems.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS