'Kwa Nyerere iliwezekana, Mwinyi Ikastop' - JPM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amepongeza hatua kuanza kwa safari za treni kuelekea mkoani Moshi, baada ya miaka 25, ambapo amesema hatua ni kubwa sana iliyofanywa na Shirika la Reli Tanzania TRC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS