'Maji yamenifika shingoni' - Meya DSM
Meya wa Jiji la Dar es salaam, Isaya Mwita, amesema kwa sasa yuko hatarini kupoteza nafasi yake ya Umeya wa Jiji hilo, baada ya kuundiwa kamati maalumu ya uchunguzi na Mkuu wa Mkoa huo kufuatia uwepo wa malalamiko dhidi yake.

