Mnyika awa Mrithi wa Mashinji

Mbunge wa Kibamba na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika.

Mbunge wa Kibamba John Mnyika, ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya jina lake kupendekezwa na Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, na kupitishwa na Baraza Kuu la chama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS