Madini ya Tanzanite makubwa yapatikana Mererani

Madini ya Tanzanite ambayo yamepatikana Mererani Arusha

Mchimbaji madini eneo la Mererani Laizer Kuryani, amepata mawe mawili ya Tanzanite yenye uzito mkubwa ,moja lina kilo 9.27 na jingine kilo 5.8 ,  ambapo serikali kupitia Benki Kuu, imeyanunua mawe hayo, kwa gharama ya Bilioni 7.8 . Kuryani ametambuliwa rasmi kama Bilionea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS