Nugaz awapa ahadi nzito mashabiki wa Yanga

Antonio Nugaz

Afisa Mhamasishaji na Msemaji wa klabu ya Yanga, Antonio Nugaz ametoa ahadi nzito kwa mashabiki wa klabu hiyo kuelekea msimu ujao baada ya mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji kusainiwa jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS