Nugaz awapa ahadi nzito mashabiki wa Yanga Antonio Nugaz Afisa Mhamasishaji na Msemaji wa klabu ya Yanga, Antonio Nugaz ametoa ahadi nzito kwa mashabiki wa klabu hiyo kuelekea msimu ujao baada ya mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji kusainiwa jana. Read more about Nugaz awapa ahadi nzito mashabiki wa Yanga