Ripoti mpya ya taarifa kuhusu kifo cha George
Taarifa mpya kuhusu kifo cha raia George Floyd ambaye ameuliwa na polisi Derek Chauvin wiki iliyopita inaeleza kuwa, marehemu alipatwa na mshtuko wa moyo na kufeli kwa mishipa ya damu wakati alivyokamatwa na polisi huyo.