Ripoti mpya ya taarifa kuhusu kifo cha George

Baadhi ya waandamanaji wakishika mabango yanayoeleza kutaka haki kuhusu kifo cha George Flyod dhidi ya polisi

Taarifa mpya kuhusu kifo cha raia George Floyd ambaye ameuliwa na polisi Derek Chauvin wiki iliyopita inaeleza kuwa, marehemu alipatwa na mshtuko wa moyo na kufeli kwa mishipa ya damu wakati alivyokamatwa na polisi huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS