JPM aelezea mashaka yake kwa mwaka 2020/2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli , amewataka wakulima kuacha mara moja kuuza mazao yao kwa bei nafuu kwa kuwa huenda mwaka huu au ujao, hali inaweza isiwe nzuri kwani nchi nyingi za Afrika zitakumbwa na shida ya chakula kwa sababu walijifungia ndani kuogopa Corona.