Shule yapewa jina la Jokate Mwegelo na Waziri

Picha kubwa ni moja ya majengo ya shule ya Sekondari Jokate Mwegelo na picha ndogo ni DCJokate Mwegelo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi Mh. Seleman Jafo ameonesha kufurahishwa na kazi kubwa ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Bweni ya wasichana aliyoipa jina la Jokate Girls High School iliyopo Mhaga wilayani Kisarawe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS