Shule yapewa jina la Jokate Mwegelo na Waziri
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi Mh. Seleman Jafo ameonesha kufurahishwa na kazi kubwa ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Bweni ya wasichana aliyoipa jina la Jokate Girls High School iliyopo Mhaga wilayani Kisarawe.