Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imesaini mikataba mitatu yenye thamani ya Zaidi ya TSh. Bilioni 590 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya maji, umeme vijijini Kusini mwa Tanzania.