Msanii aeleza alivyoenda kwa mganga
Msanii Natasha Lisimo ambaye zamani alikuwa anafahamika kwa jina la Khadja Nito amesema, alipitia magumu alipoenda kwa mganga na kuambiwa kutekeleza maagizo kwa kupewa hirizi, kuchinja Kuku, Mbuzi na kulala makaburini pamoja na kutupiwa ugonjwa wa UKIMWI.