Alichosema Piere Likwidi baada ya kutoka Karantini
Mchekeshaji Piere Likwidi
Mchekeshaji Piere Likwidi amesema, sasa hivi amepona ugonjwa wa Corona baada ya kuruhusiwa kutoka Karantini kwenye Hospitali ya Amana, wiki iliyopita ambapo alikaa kwa siku 14.