Mchezaji wa Timu ya Kagera Sugar Kelvin Sabato na David Molinga
Mchezaji wa Timu ya Kagera Sugar Kelvin Sabato, amesema Mshambuliaji wa Yanga David Molinga ni moja ya washambuliaji ambao wana kiwango kikubwa cha uchezaji licha ya kukosolewa na mashabiki wa mpira.