Tamko la Basata kwa wasanii wanaogombea Ubunge 

Kulia ni msanii Mwana Fa, kushoto ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA)

Baraza la Sana la Taifa (BASATA) wamesema hawana tatizo na wasanii wote wanaogombea Ubunge kwani ni moja wapo ya fursa na wanataka waichangamkie vyema ili waweze kuwa Wabunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS