Tanzania yaahidi kuisaidia Serikali mpya Burundi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa amesema Tanzania itaendelea kuisaidia Burundi ili ifanikiwe katika adhma yake ya kutaka kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kama ilivyoombwa na aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza wakati wa uhai wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS