Nyalandu akumbuka alivyosafiri na Mbowe Yerusalemu

Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, na kulia ni mtia nia wa nafasi ya Urais, Lazaro Nyalandu.

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu, ameeleza ni kwa namna gani anamfahamu Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, ambapo amesimulia pia ni kwa namna gani alimuomba wasafiri wote kwenda katika maeneo ya Wapalestina na Waisrael.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS