Madereva walio-bet uhai wa watu kufutiwa sifa

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Fortunatus Muslimu.

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Fortunatus Muslimu, amesema kuwa madereva wawili wa mabasi ambao video yao ilisambaa mitandaoni wakishindana barabarani, atawachukulia hatua za kuwaondolea sifa za kuendesha magari hayo, kuwafungia kwa miezi 6 pamoja na kuwapeleka mahakamani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS