Wananchi waandamana jijini Nairobi leo Moja ya mitaa ambayo ilikuwa na maandamano Polisi jijini Nairobi mchana huu wa Julai 7, 2020, wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya waandamanaji katika mitaa mbalimbali ya jiji la Nairobi. Read more about Wananchi waandamana jijini Nairobi leo