JPM amtengua kiongozi anayetuhumiwa kuchukua wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameagiza kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe Mtela Mwampamba, ambaye ametengua uteuzi wake hii leo apangiwe kazi nyingine ya chini ambayo atakuwa na uwezo nayo.

