Mhilu amesema yupo tayari kurejea Yanga. Mshambuliaji machachari wa Kagera ,Sugar Yusuph Mhilu katika picha,wakati akisaini mkataba wa kuitumikia miamba hiyo ya mkoani Kagera. Yusuph Mhilu amesema yupo tayari kujiunga na waajiri wake wa zamani klabu ya Yanga iwapo watapeleka ofa itakayokubalika kwa pande zote mbili. Read more about Mhilu amesema yupo tayari kurejea Yanga.