Baba Levo awakataa watoto wake, ataka DNA
Msanii na aliyekuwa Diwani wa Mwanga Kaskazini Kigoma Ujiji, kupitia chama cha ACT Wazalendo Baba Levo, amesema ana watoto wengi hadi wengine amewakataa kwa sababu mama zao walikuwa hawajatulia pia ana mpango wa kwenda kuwapima DNA.
