Miujiza ya MSN ilivyosumbua soka la Ulaya. Washambuliaji Luis Suarez wa kwanza (Kushoto), Neymar Jr (Kati) na Lionel Messi (Kulia) katika moja ya mchezo wa La Liga wakishangilia pamoja. MSN ni kifupi cha majina ya washambuliaji waliounda safu matata iliyojua kucheka na nyavu na kutikisa Duniani. Read more about Miujiza ya MSN ilivyosumbua soka la Ulaya.