Kocha wa Manchester City Pep Guardiola akimpa maelekezo beki Jone Stones katika moja ya mechi ya ligi kuu ya England
Kocha wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola amesema atazungumza na beki John Stones mwishoni mwa msimu huu ili kujua hatma yake iwapo atasalia kwenye kikosi chake au ataondoka.