"Huu msiba ni mzito" - Mo Dewji, Mzee Yusuph,GNako

Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa aliyefariki dunia usiku wa kuamkia Julai 24, 2020

Siku ya Julai 24, 2020 inaingia kwenye kumbukumbu ya Taifa kwa kumpoteza Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa, aliyeiongoza Tanzania kuanzia mwaka 1995 hadi 2005 na alizaliwa Novemba 12,1938.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS