Kocha wa Real Beti Manuel Pellegrini(pichani kulia) akiwa na aliyekua nahodha wa Man City Vicent Company (pichani kushoto) wakibeba kombe la PL walioltwaa msimu wa 2013/14
Klabu ya Real Betis ya ligi kuu ya Hispania imemtangaza kocha Manuel Pellegrini kuwa kocha wao mkuu kwa mkataba wa miaka mitatu.