Madee atajiwa Jimbo ambalo anatakiwa achukue

Msanii Madee

Msanii Madee Seneda amesema, anapenda sana kuiangalia siasa na kuisoma, ila hawezi kuifanya japo huwa anatumiwa ujumbe na viongozi wa siasa kwamba, wampe nafasi ya uongozi kwenye Jimbo la Ubungo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS