Kocha wa zamani wa Man City aula Hispania

Kocha wa Real Beti Manuel Pellegrini(pichani kulia) akiwa na aliyekua nahodha wa Man City Vicent Company (pichani kushoto) wakibeba kombe la PL walioltwaa msimu wa 2013/14

Klabu ya Real Betis ya ligi kuu ya Hispania imemtangaza kocha Manuel Pellegrini kuwa kocha wao mkuu kwa mkataba wa miaka mitatu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS