Madee atajiwa Jimbo ambalo anatakiwa achukue Msanii Madee Msanii Madee Seneda amesema, anapenda sana kuiangalia siasa na kuisoma, ila hawezi kuifanya japo huwa anatumiwa ujumbe na viongozi wa siasa kwamba, wampe nafasi ya uongozi kwenye Jimbo la Ubungo. Read more about Madee atajiwa Jimbo ambalo anatakiwa achukue