Kamanda Shana anusurika kutenguliwa, apewa onyo

Rais Magufuli na Kamanda Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemuonya Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana kutokana na kufanya mambo ambayo hayapo kwenye kazi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS