Kamanda Shana anusurika kutenguliwa, apewa onyo Rais Magufuli na Kamanda Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemuonya Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana kutokana na kufanya mambo ambayo hayapo kwenye kazi yake. Read more about Kamanda Shana anusurika kutenguliwa, apewa onyo