Martial na Rashford,na taswira ya Yorke na Cole.
Manchester United ndiyo klabu pekee ambayo haijapoteza mchezo kwenye ligi kuu ya soka nchini Uingereza tangu kurejea kwa ligi hiyo, Mwezi Juni mwaka huu, ikishinda mechi tano na sare mbili kwa wastani wa pointi 2.43 kwa kila mchezo.

