mwamuzi akihakikisha tukio la utata wa penati kupitia VAR.
Bodi ya ligi kuu ya soka nchini Uingereza imetanabaisha kuwa kumekuwepo na maamuzi yasiyo sahihi matatu ya penati yalifanywa na waamuzi wasaidizi wa video VAR katika michezo yote mitatu ya Alhamisi,