Vijana wa ACT Wazalendo kumuandikia Membe barua

Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe.

Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT Wazalendo imesema kuwa itamuandikia barua aliyewahi kuwa waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, ili aweze kujiunga na chama hicho kwa kile wanachoamini kuwa na yeye ni muhanga wa demokrasia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS