TAKUKURU yaonya wafanyabiashara kuelekea Uchaguzi

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali, John Mbungo.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), imetahadharisha wafanyabishara kutojihusisha na vitendo vya rushwa, kupitia dhana ya ufadhili wa gharama za uchaguzi ndani ya vyama vya siasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS